Nakukutanisha na picha 16 za Zero Effect namna kilivyohapen Mtwara..

Dj Zero kutoka XXL ya Clouds Fm wikiendi iliyopita kwenye mkesha wa Pasaka March 16 aliwakutanisha wakali kadhaa wa Bongo Fleva kwenye stage ya Makonde Beach Mtwara kwenye show aliyoipa jina la Zero Effect ambayo wakali kadhaa walikuwepo kama Chege,Madee,Tunda man,Mo Music na Stamina.




Mo Music akicheza na Mashabiki wake.

Tunda Man.

Dj Zero na Dj K man wa TipTop Connection.

Chege

Dj Zero..

Tunda Man


Tunda Man

Mo Music.

Stamina



No comments:
Post a Comment