ZEC Imetangaza Matokeo ya Urais Zanzibar Katika Majimbo Manne Mpaka Sasa.......CCM imeshinda matatu, CUF 1
Mpekuzi blog
Hadi sasa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeshatangaza matokeo ya kura za urais kwa majimbo manne kati ya 54.
Majimbo
 hayo ni Kwahani, Fuoni, Kiembesamaki na Malindi. Dk. Shein wa CCM 
anaongoza kwenye majimbo matatu ya Kwahani, Fuoni na Kiembesamaki huku 
Maalim Seif wa CUF akiongoza kwenye jimbo la Malindi.

 


