Nyota ya Diamond Platnumz Inazidi Kung'ara.......Katajwa Kuwania Tuzo za Uganda (Uganda Entertainment Awards 2015 )
Akiwa
 ni miongoni mwa wanaowania tuzo za MAMA zitakazotolewa mwezi huu, 
muimbaji huyo wa ‘Nana’ ametajwa kuwania tuzo zingine za Uganda 
zijulikanazo kama Uganda Entertainment Awards 2015 (UEA)
Platnumz
 anawania kipengele cha Best African Act akichuana na Wizkid (Nigeria), 
Patoranking (Nigeria), Tiwa Savage (Nigeria) na Active
Tuzo
 hizo zinatarajiwa kutolewa Septemba 4, 2015 katika hoteli ya Munyonyo 
Commonwealth Resort (Speke Ball) jijini Kampala, Uganda


 



















