Hiki ndio kilichonifikia kuhusu Makongoro Nyerere kuhusishwa na ajali iliyotokea leo Kigoma

Stori imekuwa kubwa na wengine wameipata taarifa hiyo tofauti na jinsi ajali iliyotokea.. Nimepita MICHUZI BLOG na kuikuta hii stori, gari iliyopata ajali ni gari iliyokuwa imebeba Wasaidizi wa Makongoro Nyerere.. Gari hiyo imepinduka ikiwa kwenye mwendo wa kasi.
Watu walioumia ni wasaidizi hao pamoja na Mwandishi wa Habari mmoja.
Pole kwa wote walioumia kwenye ajali hii.
No comments:
Post a Comment