Floyd Mayweather Amchapa Manny Pacquiao
Mpekuzi blog
BONDIA wa Marekani, Floyd Mayweather amemchapa mpinzani wake raia wa
Ufilipino, Manny Pacquiao kwa pointi katika mpambano wao wa karne
uliopigwa Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas leo asubuhi.
No comments:
Post a Comment