Davido kashirikishwa na Orezi kwenye hii Remix ‘Shuperu’ …(Video)

Orezi ambaye moja ya nyimbo iliyomtambulisha ni ‘Shoki’ kaamua kurudi tena na kutoa remix ya wimbo wake ‘Shuperu’ na kuamua kumshirikisha mkali wa Nigeria Davido, ambapo Video imefanyika Nigeria chini ya Paul Gambit.
Nakukaribisha hapa kuitazama.
INGIA MIILARDAYO.COM
No comments:
Post a Comment